.

.

.

.

Friday, July 29, 2011

MAWAZIRI WAKUU WAASTAAFU


Mawaziri Wakuu Wastaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba (kushoto) na Dkt Salim Ahmed Salimu(kulia) wakisikiliza kwa makini hotuba ya ukaribisho kutoka kwa Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Dkt John Magotti(hayupo pichani) wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 50 ya uanzishwaji wa Chuo hicho.(Picha na Tiganya Vicent- Maelezo Dar es Salaam).

No comments:

Post a Comment