.

.

.

.

Wednesday, June 23, 2010

BUNGENI DODOMA


Mbune wa Kuteuliwa, Zakia Meghiji (katikati) akizungumza na Mbunge wa Busega, Raphael Chegeni (kushoto na Mbunge wa Viti Maalum, Joyce Masunga kwenye viwanja vya bunge Mjini Dodoma .
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Spika wa Bunge Samuel Sita (kushoto) na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya ya Urambo, Juma Dewji kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma .

No comments:

Post a Comment