.

.

.

.

Friday, March 04, 2011

HAYA SIO MAADILI YA KITANZANIA


Mwanamke huyu ambaye jina lake halikuweza kupatikana akipita katika maeneo ya Biafra karibu na kituo cha mabasi huku akiwa ameshikilia kiloba cha Konyagi huku akivuta sigara akiwa kama unavyo muona vijana kwa watu wazima walianza kumkodolea macho huku akina mama wakimchangia pesa aweze kuchukua tax lakini aliamua kununulia pombe ya kiloba . majira ya saa 3 asubuhi
Mfanyabiashara ya sigara katika kituo cha mabasi yaendayo mwenge eneo la kanisani akimsaidia moto mama huyo.
Kama kawaida huyu mama haoni aibu anakatisha kwa kunengua mitaani, watu wanasema kuwa alichelewa kazini.
Kipande cha Tako kinachungulia

Mwanamke mwenzagu hebu kavae ngua vizuri na chukua pesa hii ukodi tax unanitia aibu mama wa mkono wa kulia anamwambia mwanamama huyu.

KWA HISANI YA PWANIRAHA BLOG

No comments:

Post a Comment