.

.

.

.

Saturday, November 12, 2011

VURUGU ZA WAMACHINGA MJINI MBEYA


Baadhi ya wamachinga wakiwa wamelipindua gari yaina ya toyota na kusimama juu yake huku wakitamka maneno makali kwa polisi na jiji la mbeya kwa kuwanyanyasa katika biashara zao
Moja ya mabango waliyobeba wamachinga hao
Wamachinga wakiwazomea polisi eneo la kabwe
Maduka yote eneo la mwanjelwa mpaka uyole yamefungwa
Moja ya gari lililobinuliwa na kuwekwa katikati ya barabara ya mbeya tunduma
Huu ndiyo mtaa wengi huuita mtaa wa kasisi uliyosababisha vurugu zote kati ya wamachinga na askari wa jiji
Mmachinga akiwarushia jiwe kwa kutumia manati yaani ni hatari tupu
Askari wa kutuliza fujo naye akiwarushia bomu la machozi wamachinga wanaoandamana




PICHA NA HABARI KWA HISANI YA MBEYA YETU

No comments:

Post a Comment