.

.

.

.

Friday, March 30, 2012

JOAKINA DE-MELLO APEWA TUZO YA MWANAMKE JASIRI TANZANIA

Mwanamke Jasiri Tanzania 2012, Bi. Joaquine De-Mello akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo.
Kaimu Balozi wa Marekani hapa nchini, Robert Scott akikabidhi Tuzo ya Mwanamke Jasiri Tanzania 2012, Bi. Joaquine De-Mello.
De-Mello akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) ambaye ni mmoja kati ya waliowahikupata tuzo kama hiyo Mwaka 2010, Bi. Ananilea Nkya (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Under The Same Sun (UTSS) Tawi la Tanzania, Bi. Vicky Ntetema (kulia).

No comments:

Post a Comment