.

.

.

.

Sunday, April 22, 2012

MISS TABATA WAZIDI KUJIFUA


 Warembo wanaoshiriki shindano la Miss Ukonga 2012 wakiwa katika pozi ndani ya fulanazz zao kutoka kwa mmoja wadhamini wa shindano hilo KIOTA JUNGLE-"TRULY TANZANIAN COMFORT.Habari zao zaidi nihttp://www.kiotajungle.com/
 akikisha hukosi show hii May 5,2012, mambo ya mugongo mugongo .
Msanii wa Filamu za Bongo Rich Rich akizungumza na warembo katikia kambi yao ya mazoezi . Rich Rich na timu yake walitia mguu kambi hii ajili ya kuangalia warembo watakao shiriki katika moja ya filamu zake mpya.

No comments:

Post a Comment