.

.

.

.

Monday, September 16, 2013

PRISCA CLEMENT NDIYE REDDS MISS TALENT 2013



 Mrembo Prisca Clement ambaye ni mwakilishi kutoka Sinza na Kanda ya Kinondoni usiku wa kuamkia leo amefanikiwa kuwabagwa warembo wenzake 26 kati ya 30 wanaowania taji la Miss Tanzania mwaka huu na kufanikiwa kuwa mrembo wa 3 kuingia Nusu Fainali ya Mashindano hayo baada ya kutwaa taji hilo dogo.
Shindano hilo lilifanyika katika Hoteli ya Giraffe Ocean View ambako ndiko Kambi ya Warembo hao ilipo.
 Prisca akipita jukwaani mara baada y.a kutajwa kuwa ndio mshindi
 Prisca Clement (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wenzake aliyeshika nafasi ya pili Joyce Shayo (kushoto) na Lucy Tomeka aliyeshika nafasi ya tatu.

No comments:

Post a Comment