.

.

.

.

Saturday, April 25, 2009

MWANAMICHEZO BORA 2008


Meneja uhusiano wa benki ya Standard Chatered Hoyce Temu na afisa mwanadamizi wa uhusiano wa benki ya NMB Shayrose Banji wakiteta jambo na Irene Kiwia katika sherehe za kumtangaza mchezaji bora wa mwaka 2008 zilizofanyika hoteli ya Kilimanjaro Kempiski jana sherehe hizo zilizoandaliwa na chama cha waandishi wa habari za michezo TASWA.

No comments:

Post a Comment