.

.

.

.

Wednesday, March 02, 2011

HAPA NA PALE

Huyu ndiye msanii mdogo kuliko wote wa Bongo fleva anayeenda kwa jina la DOGO JANJA na jina lake halisi ni Abdul Aziz
Jennifer Hudson kwenye Tuzo za Oscar hivi majuzi.
Teddy Kaegele (katikati) akiwa na marafiki zake kwenye pati ya siku yake ya kuzaliwa katika kiota kipya cha Nyumbani lounge.

No comments:

Post a Comment