.

.

.

.

Thursday, June 23, 2011

KAKA DICK WA LEICESTER ATUTOKA DUNIANI


Ndugu, Jamaa, na Marafiki, Watanzania wote;Kwa masikitiko makubwa tunawataarifu ya kwamba, tumepokea habari za msiba wa mwenzetu EDGAR KILEKE (KAKA DICK). Msiba umetokea leo huko Leicester Uingereza. Marehemu Edgar amefariki baada ya kuugua cancer ya Ini.
Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu kueleke anyumbani kwa mazishi inafanyika. Tunawaomba wote, kwa moyo wa upendo na utoaji, tusaidiane ili tukamilishe maandalizi haya na mwenzetu ili aweze kwenda kupumzishwa kwenye makao yake ya milele huko nyumbani Tanzania. Tunatanguliza shukurani za dhati kwa michango yenu.

Wanaoweza kuwatembelea wafiwa na kutoa pole mnakaribishwa na msiba upo kwenye address hapo chini:

89 Stevenson Drive
LE3 9AD
Leicester

Kwa maelezo ya ziada wasiliana na:

Asaa Ali 07951644936 au Fauzia Musa 07943962628

Kama hutaweza kufika Leicester, unaweza kutuma mchango wako kwa:

A A KAKOZI
Account Number: 85065992
Sort Code: 09-01-27
Bank: Santander

Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe.
Asanteni.

No comments:

Post a Comment