.

.

.

.

Saturday, October 29, 2011

SALHA ISRAELI NA KATI YA LONDON


Vodacom Miss Tanzania 2011,Salha Israel (wa tano kutoka kushoto) akiwa na warembo wenzake wanaoshiriki katika shindano la urembo la Dunia (Miss World 2011 ) katika moja ya tafrija zinazoendelea kufanyika jijini London,Uingereza.Fainali za Shindalo hilo zinatarajiwa kufanyika Novemba 6,2011 jijini London.

No comments:

Post a Comment