.

.

.

.

Saturday, September 12, 2009

ZAWADI ZA MISS TZ VODACOM 2009 ZATANGAZWA

Baadhi ya warembo watakaoshiriki Miss TZ Vodacom 2009 katika picha ya pamoja mara baada ya kutangazwa kwa zawadi zitakazotolewa mwaka huu.
Warembo wakiwa na gari aina ya VITARA ambalo atakabidhiwa mshindi wa Kwanza .Zawadi nyingine ni
Mshindi wa pili shs. mil. 6.2
Mshindi wa tatu shs. mil. 4

No comments:

Post a Comment