.

.

.

.

Sunday, March 18, 2012

MSANII LINAH KATIKA POZI NCHINI MAREKANI



MSANII wa muziki wa kizazi bongo Linah, ambaye yuko Nchini Marekani kwa ajili ya matamasha yaliyo na lengo la kuutangaza muziki wa bongo fleva pamoja na tamaduni za watu wa Afrika akiwa katika Kodak za Nguvu hivi karibuni. Wadau kaeni mkao wa kula kwa show zake Nchini Marekani kwa kufuatilia blogu ya Vijimambo.


http://lukemusicfactory.blogspot.co.uk/ 

No comments:

Post a Comment