.

.

Tuesday, March 31, 2009
STATE HOUSE ......................
SHEREHE YA SIKU YA KUZALIWA JAZMINE CLUBAFRIQUE
SIMBA NA YANGA KUUMANA APRIL 26

Mpambano wa Watani wa Jadi unaosubiliwa kwa hamu na wakazi wa Washington Metro area na vitongoji vyake sasa utafanyika siku ya muungano,jumapili april 26 kwenye wanja letu la taifa la zamani(meadowbrook park) na msaidizi Balozi mh. Switebert Mkama kuwa mgeni wa heshima.
Mara ya mwisho timu hizi ziliumana vikali June 15 mwaka jana na vijana hao wa msimbazi walisalimu amri ya bao 4-1 dhidi ya mahasimu wao Yanga ambao mwaka huu imezidi kuimarika baada ya kusajili vijana wapya,japo uongozi wa Yanga ulikataa kutaja majina ya usajili huo.kwa upande wa Simba Mkakile(Bamchawi) yeye ametamba kwamaba mwaka huu ni mwaka wao uteja kwa Yanga basi na habari tulizo zipokea hizi punde kutoka ndani ya uongozi wa Simba,kamati ya ufundi imepata mtaalamu kutoka Bwagamoyo ambae watamjaribu kwenye mpambano huo ambo unategemewa kuwa mkali na wenye vitmbi vingi.
Simba wamepata uzi mpya kutoka kwa mfadhili ambae hakutaka jina lake litajwe,jezi hizo zimeipa kiwewe Uongozi wa Yanga unaohangaika kushinda kwa wafadhili kujaribu nao wapate Jezi.Sisi hata kama tutakosa jezi,kuifunga Simba ni kama kumsukuma mlevi,sisi tutarudia kile kipigo june 15,Simba wao wana sema Yanga kuongea jadi yao mwaka huu mkichungulia tu ni kipigo cha mbwa mwizi.mbali na mpambano huo,kutakuepo na nyama choma na kikombe kwa mshindi
Wakati huo huo timu ya Bongo United Fc,inayo jiandaa na mpambano na Houston Stars may 24,ipo kwenye mazoezi makali chini supa kochi Gharib Latto na mpaka sasa imeisha cheza mechi 4 za kujipima nguvu,Senegal,Malawi,Togo na Nigeria na imeshinda mechi 3 na kutoka droo na Nigeria,na April 11 itaelekea Nc kwa mpambano wa kirafiki.Ujumbe kwa Houston,Nyama ikishaingia Buchani Hairudi kua ng'ombe Ole wenu Houstoni Mkichungulia tu Hamtoki.
Mara ya mwisho timu hizi ziliumana vikali June 15 mwaka jana na vijana hao wa msimbazi walisalimu amri ya bao 4-1 dhidi ya mahasimu wao Yanga ambao mwaka huu imezidi kuimarika baada ya kusajili vijana wapya,japo uongozi wa Yanga ulikataa kutaja majina ya usajili huo.kwa upande wa Simba Mkakile(Bamchawi) yeye ametamba kwamaba mwaka huu ni mwaka wao uteja kwa Yanga basi na habari tulizo zipokea hizi punde kutoka ndani ya uongozi wa Simba,kamati ya ufundi imepata mtaalamu kutoka Bwagamoyo ambae watamjaribu kwenye mpambano huo ambo unategemewa kuwa mkali na wenye vitmbi vingi.

Simba wamepata uzi mpya kutoka kwa mfadhili ambae hakutaka jina lake litajwe,jezi hizo zimeipa kiwewe Uongozi wa Yanga unaohangaika kushinda kwa wafadhili kujaribu nao wapate Jezi.Sisi hata kama tutakosa jezi,kuifunga Simba ni kama kumsukuma mlevi,sisi tutarudia kile kipigo june 15,Simba wao wana sema Yanga kuongea jadi yao mwaka huu mkichungulia tu ni kipigo cha mbwa mwizi.mbali na mpambano huo,kutakuepo na nyama choma na kikombe kwa mshindi
Wakati huo huo timu ya Bongo United Fc,inayo jiandaa na mpambano na Houston Stars may 24,ipo kwenye mazoezi makali chini supa kochi Gharib Latto na mpaka sasa imeisha cheza mechi 4 za kujipima nguvu,Senegal,Malawi,Togo na Nigeria na imeshinda mechi 3 na kutoka droo na Nigeria,na April 11 itaelekea Nc kwa mpambano wa kirafiki.Ujumbe kwa Houston,Nyama ikishaingia Buchani Hairudi kua ng'ombe Ole wenu Houstoni Mkichungulia tu Hamtoki.
PRES.OBAMA £250,000 CAR IN LONDON

US President Barack Obama touches down in the UK tonight - ready to cruise the capital's streets in a £250,000 rocket-grenade launching limo dubbed THE BEAST
Mr Obama steps out of his presidential limo during a trip to Illinois

He lands with an entourage of 500 - including 200 secret service staff and a medical team carrying pints of his own blood type.
Mr Obama will use a plane, a helicopter and a limousine and be followed by a fleet of ambulances and decoy vehicles.
The £250,000 Beast is equipped with rocket-propelled grenades, a night-vision camera and pump-action shotguns to destroy would-be attackers.
Manholes in city roads have been bolted down, bins removed and British security snipers placed in tall buildings across the city.
The Beast's titanium superstructure is capable of shielding the president from a chemical weapons attack. Its sealed interior forms an impregnable "panic room" if the vehicle is attacked.
The car contains a tear-gas cannon, oxygen tanks and bottles of the president's AB blood. It can drive at speeds of more than 60mph with punctured tyres.
The five-inch rocket proof glass is so thick that Mr Obama needs flourescent light to read in the darkness
Mr Obama will use a plane, a helicopter and a limousine and be followed by a fleet of ambulances and decoy vehicles.
The £250,000 Beast is equipped with rocket-propelled grenades, a night-vision camera and pump-action shotguns to destroy would-be attackers.
Manholes in city roads have been bolted down, bins removed and British security snipers placed in tall buildings across the city.
The Beast's titanium superstructure is capable of shielding the president from a chemical weapons attack. Its sealed interior forms an impregnable "panic room" if the vehicle is attacked.
The car contains a tear-gas cannon, oxygen tanks and bottles of the president's AB blood. It can drive at speeds of more than 60mph with punctured tyres.
The five-inch rocket proof glass is so thick that Mr Obama needs flourescent light to read in the darkness
NURU MAGRAM HUYOOOOOO !!!

GOVERNOR GENERAL WA AUSTRALIA
Monday, March 30, 2009
MH.CHENGE APANDISHWA KIZIMBANI

VIONGOZI WA SADC NCHINI SWAZILAND

CHINGY AT LEADERS CLUB THIS FRIDAY

Organisers of the event have confirmed to SwahiliRemix.com that Chingy is dropping in Bongo next week and will be performing his Hit singles "Right Thurr", "Holidae In", "One Call Away", "Pulling Me Back" and many more.
Similar in style to fellow St. Louis pop-rapper Nelly, Chingy enjoyed a lot of success initially in his career, beginning with the summer 2003 smash hit "Right Thurr," yet he struggled to rival that success in subsequent years. Born Howard Bailey, Jr., on March 9, 1980, in St. Louis, MO, Chingy was signed by Atlanta rapper Ludacris, whose Disturbing the Peace label released "Right Thurr" as the lead single to Jackpot (2003). "Right Thurr" became a quick hit, getting a lot of airplay and breaking into the Top Five of Billboard's Hot 100.
Jackpot spawned two additional Top Five hits, "Holidae In" and "One Call Away," but an ensuing dispute between Chingy and Disturbing the Peace resulted in a seperation of the rapper from the label. Powerballin' (2004), Chingy's second album, was released by Capitol and failed to rival the success of its predecessor; its lead single, "Balla Baby," stalled at number 20 and its follow-up single, "Don't Worry," failed to even crack the Hot 100.
Hoodstar (2006) was relatively more successful, led by the Top Ten hit "Pullin' Me Back," though the album itself fell well short of platinum sales status (in comparison, Jackpot had gone triple platinum). Chingy resolved his differences with Disturbing the Peace thereafter and returned to the label for his next album, Hate It or Love It (2007). Jason Birchmeier, All Music Guide
Also the organisers of Bow Wow's concert have confirmed that the show has been cancelled. The show was cancelled because Bow Wow is currently touring around the USA for his new album "New Jack City II" that will be released on March 31.
LATIFAH GETTING OLD !!!



Actress LisaRaye, Lil Kim and Kim Kardashian was spotted at Queen Latifah’s 39th Birthday Bash this past weekend at Club Sir in Hollywood. Party guests were treated to tons of Cover Girl products and surprise performances from the women of Hip Hop which included Lil Kim, Missy Elliot, Lady of Rage, YoYo, MC Lyte and Spinderella
MR HANDSOME TANZANIA 2009

TAIKUNI SOMAIYA ATOROKA MAKACHERO
BILIONEA Ketan Somaia, anaetafutwa nchini Tanzania kwa tuhuma za utapeli, ameponyoka wakati akiwa chini ya mikono ya makachero wa Kenya.
Hatua hiyo imekuja wakati akiwa mbioni kumaliza kifungo chake na kisha kurejeshwa nchini Tanzania, kujibu tuhuma za utapeli dhidi ya mfanyabiashara Vincet Laswai na ufisadi wa makampuni yake ya Somaia Group.
Duru za kuaminika kutoka Idara ya Polisi wa Kimataifa nchini Tanzania (Interpol) na ambazo zimethibitishwa na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Kamishna Robert Manumba, zilisema Somai anasadikiwa kukimbimbilia India.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, Somaia ambaye alikuwa maarufu nchini akiwa na viwanda chini ya mwavuli wa Somaia Group, alitoroka baada ya kupata dhamana katika rufaa yake katika MahakamaKuu ya Kenya.
Duru hizo zilisema baada ya kukata rufaa na kutoka nje, Somia alitoroka na hadi sasa makachero wa Kenya hawajui aliko.
Kwa mujibu wa duru hizo, baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu, raia huyo wa India, alikata rufaa iliyotengea adhabu hiyo.
Hata hivyo, wakati mchakato wa kisheria ukiendelea, Somaia alipata upenyo wa kuwaponyoka makachero wa Kenya na kukimbilia India.
Kwa mujibu wa duru hizo, taarifa hizo zimeishitua na kuchukiza Jeshi la Polisi nchini ambalo ndilo lilisaidia kukamatwa kwa mtuhumiwa, alipokuwa akijandaa kutoroka Afrika, kupitia uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta.
Akizungumzia taarifa hizo mishoni mwa wiki iliyopita Mkurugenzi Manumba alikiri kuhusu Interpol ya Tanzania kupata taarifa hizo.
Kwa mujibu wa DCI Manumba, Polisi wa Tanzania kwa kushirikiana na Interpol ya India na Kenya, wanaendelea kumsaka mtuhumiwa huyo.
Hatua hiyo imekuja wakati akiwa mbioni kumaliza kifungo chake na kisha kurejeshwa nchini Tanzania, kujibu tuhuma za utapeli dhidi ya mfanyabiashara Vincet Laswai na ufisadi wa makampuni yake ya Somaia Group.
Duru za kuaminika kutoka Idara ya Polisi wa Kimataifa nchini Tanzania (Interpol) na ambazo zimethibitishwa na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Kamishna Robert Manumba, zilisema Somai anasadikiwa kukimbimbilia India.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, Somaia ambaye alikuwa maarufu nchini akiwa na viwanda chini ya mwavuli wa Somaia Group, alitoroka baada ya kupata dhamana katika rufaa yake katika MahakamaKuu ya Kenya.
Duru hizo zilisema baada ya kukata rufaa na kutoka nje, Somia alitoroka na hadi sasa makachero wa Kenya hawajui aliko.
Kwa mujibu wa duru hizo, baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu, raia huyo wa India, alikata rufaa iliyotengea adhabu hiyo.
Hata hivyo, wakati mchakato wa kisheria ukiendelea, Somaia alipata upenyo wa kuwaponyoka makachero wa Kenya na kukimbilia India.
Kwa mujibu wa duru hizo, taarifa hizo zimeishitua na kuchukiza Jeshi la Polisi nchini ambalo ndilo lilisaidia kukamatwa kwa mtuhumiwa, alipokuwa akijandaa kutoroka Afrika, kupitia uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta.
Akizungumzia taarifa hizo mishoni mwa wiki iliyopita Mkurugenzi Manumba alikiri kuhusu Interpol ya Tanzania kupata taarifa hizo.
Kwa mujibu wa DCI Manumba, Polisi wa Tanzania kwa kushirikiana na Interpol ya India na Kenya, wanaendelea kumsaka mtuhumiwa huyo.
Sunday, March 29, 2009
DISNEY FIRST BLACK PRINCESS ANIMATION

The former Spice Girls star is thrilled the lead character in upcoming animation 'The Princess And The Frog' is African-American, but thinks the film should have been made years ago.
The 33-year-old singer said: "It seems to cause some controversy that the princess falls in love with a white prince in the movie. I can't see why there should be a problem!
I'm getting hypnosis. I'm doing this just in case I get any last-minute nerves - you know, in case I can't remember the lyrics or the moves.
"We should be applauding interracial relationships and have more of an open mind. It's brilliant. In this day and age, races are integrated - we have a black President of America now - so it shouldn't matter.
"Disney, you should have made this film sooner."
Mel recently revealed she is being hypnotised to calm her stage nerves ahead of her appearance in Las Vegas burlesque production 'Peepshow', which starts next month.
HABARI ZA MUHIMU
TRENI ZIMEGONGANA DODOMA MPAKA SASA WATU 16 WAMEFARIKI NA WENGINE WAMEUMIA VIBAYA KAZI YA KUTOA WATU WENGINE ZINAENDELEA,TUTAZIDI KUWALETEA HABARI NJINSI TUTAKAVYOZIPATA SAA HIZI NI SAA TANO ASUBUHI KWA SAA ZA HAPA UINGEREZA
HABARI TOKA REDIO ONE NA ITV
HABARI TOKA REDIO ONE NA ITV
MAIMARTHA WA JESSE MZIGONI
WANAWAKE WALIOKUFA KWENYE AJALI YA KIBAJAJI


Hawa ndio wanawake waliogongwa na Andrew Chenge na kufa hapo Ijumaa iliyopita. Beatrice (juu) na Vicky ( chini)
SAKATA la ajali ya gari la Andrew Chenge ambalo limesababisha vifo vya wanawake wawili, limeingia katika sura mpya baada ya ndugu wa wasichana hao kudai kuwa Chenge alikuwa akimfahamu mmoja wa marehemu.Chenge ambaye alikuwa Waziri na Mwanasheria mkuu wa zamani wa serikali, aliingia matatani baada ya gari alilokuwa akiendesha kugonga "bajaji" usiku wa kuamkia juzi na kuua wanawake wawili ambao ni Beatrice Costantine ambaye ni mfanyabiashara wa Mwanza na mmiliki wa saluni ya kike na Vicky George Makanya.Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Mwanza baadhi ya ndugu waliohojiwa na Mwananchi Jumapili akiwamo mama mzazi wa Vicky, walisema wanafahamu Chenge kuwa alikuwa akimjua ndugu yao Vicky.
Saturday, March 28, 2009
ENGLANG 4 SLOVAKIA 0

Beckham became England's most capped outfield player while Rooney earned a rave review from coach Fabio Capello with a two-goal man-of-the-match performance in the 4-0 victory at Wembley.
"(Rooney) played very well. It was a very important game for him," said Capello, who had warned the striker in the build-up to control his volatile temper, which flared up once again playing for Manchester United last weekend when he was sent off in a shock defeat at Fulham.
"I thought we played well today and deserved the win. I thought we played very well the first half hour and could have maybe scored more than the one goal but we are delighted with the win and delighted with the four goals," Rooney said.
Capello said he was pleased with the way Beckham played after replacing Aaron Lennon at halftime to earn his 109th cap, taking him past the 108 won by the late Bobby Moore.
"David Beckham played like David Beckham, and it was a very important cross for Rooney's first goal. It was a very nice moment, and in general the team played very well. Their movement with the ball and all over the pitch was good," he said.
Beckham said: "I am very proud, you know. I think when you grow up you always dream of playing for your country and dream of playing at Wembley and I have been able to play at both Wembleys and have played for my country one hundred and nine times, so it is very special for me."
Capello said defender Rio Ferdinand and winger Shaun Wright-Phillips did not play because he did not want to risk them in a friendly.
Both should be fit for Wednesday's Group Six match, in which leaders England will be defending a 100 percent record, after nursing injuries picked up in training in the week.
MADONNA TAKES AN ENTIRE SAFARI LODGE

Madonna is hoping to adopt second child from Malawi and all 13 rooms of the Kumbali Country Lodge just outside Lilongwe have been booked by the star.
On its website, the lodge boasts nine executive rooms, each enclosed under ethnic thatch. All have en-suite bathrooms, TV, internet and a private balcony.
It is not her first visit to the lodge. Madonna stayed there in 2006 when she adopted David Banda.
The 620-hectare site with views of Nkhoma Mountain is owned and run by a couple who bought the plot from the Malawi government 10 years ago.
It has a working dairy farm and a huge garden, and is popular with couples on honeymoon. The online hotel reviewer Trip Advisor has nothing but praise for Kumbali.
SEHEMU ZA SIRI ??!!!
mimea nayo ina sehemu za siri?
Wanyama pia wanasehemu za siri ?
lakini twaziitaje hizo sehemu zao za siri huku wengi wao wanyama sehemu hizo za siri zikiwa wazi?
Kwanini binadamu tu,wengi hupenda kumwona yeye ana sehemu za siri?Kwanza tunaweza sema binadamu huambiwa ana sehemu za siri kwa sababu hujitahidi kila kukicha kufunika sehemu zake za siri kwa kutumia mavazi ya aina mbalimbali.
Nini maana ya neno SEHEMU ZA SIRI?nini maana ya neno SIRI?
Kwanza twaweza sema SIRI ni SIRI ambayo huwezi kushare na mtu mwingine licha ya binadamu.
Sasa basi kama SIRI ni ya mtu mmoja kwanini bado hizi sehemu huitwa sehemu za siri wakati mimi nilishaingia katika sehemu zako za siri au tumeshawai kuingina katika sehemu zetu za siri?Je mimi nikishajuwa sehemu yako ya siri kuna siri tena katika hiyo sehemu?
Kwanini jamii isikubali kuita sehemu fulani jina lake la halisi?Kwa mfano
mkono
vidole
kichwa
pua
masikio
matako
paja na n.k
au pua sio sehemu ya siri?
Ngoja kwanza;nikitu gani huamsha midadi kwa mwanaume na kumtaka mwanamke sehemu zake za siri?Paja laweza kuwa sehemu ya siri kwa sababu humnyegesha mwaname na kumtaka kingono.
Hivi CHANGUDOA AU MALAYA ana sehemu za siri?Au MSENGE anasehemu za siri?
Binadamu ana sehemu ngapi za siri?Kama kweli ni siri kwanini wengi wetu huwachia wengine wakachokonoa wapendavyo sehemu zetu za siri kama kweli ni sehemu za siri?
Kwanza tunajuwa ni sehemu za siri na nisehemu ambayo haiwezi kufikiwa hivihivi lakini bado KASEHEMU HAKO KADOGO KA SIRI HUKAVISHA VIJINGUO KAMA CHUPI?
Umri gani mtoto hutambua naye pia anasehemu zake za siri?Kwanini tusiwaambie mtoto wetu majina halisi ya sehemu zao za siri na manufaa ya sehemu hizo za siri katika jamii?
Imeandikwa na Ringojr
Wanyama pia wanasehemu za siri ?
lakini twaziitaje hizo sehemu zao za siri huku wengi wao wanyama sehemu hizo za siri zikiwa wazi?
Kwanini binadamu tu,wengi hupenda kumwona yeye ana sehemu za siri?Kwanza tunaweza sema binadamu huambiwa ana sehemu za siri kwa sababu hujitahidi kila kukicha kufunika sehemu zake za siri kwa kutumia mavazi ya aina mbalimbali.
Nini maana ya neno SEHEMU ZA SIRI?nini maana ya neno SIRI?
Kwanza twaweza sema SIRI ni SIRI ambayo huwezi kushare na mtu mwingine licha ya binadamu.
Sasa basi kama SIRI ni ya mtu mmoja kwanini bado hizi sehemu huitwa sehemu za siri wakati mimi nilishaingia katika sehemu zako za siri au tumeshawai kuingina katika sehemu zetu za siri?Je mimi nikishajuwa sehemu yako ya siri kuna siri tena katika hiyo sehemu?
Kwanini jamii isikubali kuita sehemu fulani jina lake la halisi?Kwa mfano
mkono
vidole
kichwa
pua
masikio
matako
paja na n.k
au pua sio sehemu ya siri?
Ngoja kwanza;nikitu gani huamsha midadi kwa mwanaume na kumtaka mwanamke sehemu zake za siri?Paja laweza kuwa sehemu ya siri kwa sababu humnyegesha mwaname na kumtaka kingono.
Hivi CHANGUDOA AU MALAYA ana sehemu za siri?Au MSENGE anasehemu za siri?
Binadamu ana sehemu ngapi za siri?Kama kweli ni siri kwanini wengi wetu huwachia wengine wakachokonoa wapendavyo sehemu zetu za siri kama kweli ni sehemu za siri?
Kwanza tunajuwa ni sehemu za siri na nisehemu ambayo haiwezi kufikiwa hivihivi lakini bado KASEHEMU HAKO KADOGO KA SIRI HUKAVISHA VIJINGUO KAMA CHUPI?
Umri gani mtoto hutambua naye pia anasehemu zake za siri?Kwanini tusiwaambie mtoto wetu majina halisi ya sehemu zao za siri na manufaa ya sehemu hizo za siri katika jamii?
Imeandikwa na Ringojr
LEO VATICAN SINZA
Bendi hiyo iliundwa na Adolf Mbinga ,Prince Mwumini Juma,Mashaka Karunde,nk watakumbuka enzi zao
Wanenguaji ambao wataongoza jahazi la unenguaji ni Amina Rusha Roho,Grece Kiza Kinene,na Queen Vero.
Friday, March 27, 2009
POLISI YAMSHIKILIA MH.CHENGE
Mbunge wa Bariadi Mashariki Mh. Andrew Chenge anashikiliwa na polisi kufuatia ajali iliyosababisha vifo vya wasichana wawili usiku wa kuamkia leo sehemu za oysterbay jijini dar, kamanda wa kanda maalum ya mkoa huu afande Suleiman Kova,amethibitisha
Afande Kova amesema kwamba Mh. Chenge alikuwa akiendesha Toyota Pick-UP Hilux yenye usajili namba T 512 ACE ambayo iligongana na Bajaji yeney namba za usajili T 736 AXC na kusababisha vifo vya hao wasichana wawili ambao hadi sasa hawajaweza kutambulika.
Amesema marehemu walikuwa wamekodi Bajaji na kwamba dereva wao alinusurika na hadi sasa hajulikani aliko na anatafutwa.
Afande Kova kasema Mh. Chenge ataendelea kushikiliwa wakati upelelezi unaendelea chini ya Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya jinai Afande Peter Kivuyo.
Afande Kova alimtaja mmiliki wa bajaji kuwa ni Bi. Zuwena Faith ambaye ameamriwa kuripoti polisi, ikiwa ni mojawapo ya hatua za kusaidia upelelezi wa kumsaka dereva wa bajaji aliyeingia mitini.
Miili ya marehemu, ambao wanakadiriwa kuwa na umri wa miaka 20 na 28 imehifadhiwa mochuari ya hospitali ya mwananyamala.
Afande Kova amesema kwamba Mh. Chenge alikuwa akiendesha Toyota Pick-UP Hilux yenye usajili namba T 512 ACE ambayo iligongana na Bajaji yeney namba za usajili T 736 AXC na kusababisha vifo vya hao wasichana wawili ambao hadi sasa hawajaweza kutambulika.
Amesema marehemu walikuwa wamekodi Bajaji na kwamba dereva wao alinusurika na hadi sasa hajulikani aliko na anatafutwa.
Afande Kova kasema Mh. Chenge ataendelea kushikiliwa wakati upelelezi unaendelea chini ya Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya jinai Afande Peter Kivuyo.
Afande Kova alimtaja mmiliki wa bajaji kuwa ni Bi. Zuwena Faith ambaye ameamriwa kuripoti polisi, ikiwa ni mojawapo ya hatua za kusaidia upelelezi wa kumsaka dereva wa bajaji aliyeingia mitini.
Miili ya marehemu, ambao wanakadiriwa kuwa na umri wa miaka 20 na 28 imehifadhiwa mochuari ya hospitali ya mwananyamala.
Thursday, March 26, 2009
MBUNGE WA SAME APATA TUZO

Mbunge wa Same Mashariki Mh. Anne Kilango Malecela amepewa tuzo na Ubalozi wa Marekani ya '2009 Tanzanian Woman of Courage'. Tuzo hiyo amekabidhiwa leo na Afisa wa Ubalozi Marekani Larry André. Mwanamke wa kwanza kupata tuzo hiyo ni Hellen Kijo Bisimba 2009 wa Kituo cha Haki za Binadamu. Kilango amepata tuzo hiyo kutokana na ujasiri wake aliouonyesha Bungeni mwaka jana kwa kupigavita ulajirushwa.
MKUTANO WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI HAPA UINGEREZA

Wataalam wa afya, na viongozi kutoka barani Afrika wanahudhuria mkutano mkubwa nchini uingereza hii leo kujadili mbinu za kuzuia na kudhibiti saratani ya mlango wa kizazi au Cervical cancer barani Afrika.
Mkutano huo unatazamiwa kuibua mikakati itakayosaidia kuokoa maisha ya mamilioni ya wanawake barani afrika ambao wanakumbwa saratani hiyo. Wanawake wengi zaidi wanakumbwa na saratani ya mlango wa kizazi kuliko saratani nyingine yoyote, japo ugonjwa huu unaweza kukingwa kupitia chanjo au kutibiwa ukigunduliwa mapema.
Na utafiti uliofanywa nchini Uganda umebainisha kuwa kufanyiwa tohara huenda kukasaidia kupunguza magonjwa mengine ya zinaa mbali na Ukimwi.
Utafiti huo uliochapishwa na jarida moja la kitabibu nchini Uingereza, unasema kuwa ni nadra sana kwa wanaume waliotahiriwa kupatwa na ugonjwa wa malengelenge na virusi vyapapi-lloma, maarufu kama HPV ambavyo husababisha saratani ya mlango wa kizazi, kwa wanawake.
Utafiti wa hapo awali uliofanywa katika nchi tatu barani afrika ikiwemo Uganda, ulibainisha kuwa tohara kwa wanaume hupunguza viwango vya maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi kwa zaidi ya asilimia hamsini.
Na utafiti uliofanywa nchini Uganda umebainisha kuwa kufanyiwa tohara huenda kukasaidia kupunguza magonjwa mengine ya zinaa mbali na Ukimwi.
Utafiti huo uliochapishwa na jarida moja la kitabibu nchini Uingereza, unasema kuwa ni nadra sana kwa wanaume waliotahiriwa kupatwa na ugonjwa wa malengelenge na virusi vyapapi-lloma, maarufu kama HPV ambavyo husababisha saratani ya mlango wa kizazi, kwa wanawake.
Utafiti wa hapo awali uliofanywa katika nchi tatu barani afrika ikiwemo Uganda, ulibainisha kuwa tohara kwa wanaume hupunguza viwango vya maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi kwa zaidi ya asilimia hamsini.
MGAO WA UMEME WAANZA BONGO
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza rasmi mgawo wa nishati hiyo kwa Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na kupungua kwa ufuaji wa umeme kwa megawati 50. Taarifa iliyotolewa leo na Tanesco, ilisema mgawo huo wa muda utakuwa ni wa kila siku kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa 8 mchana na saa 12 jioni hadi saa 4 usiku.
Hali hiyo, taarifa ilisema imechangiwa na kusimama kwa mitambo miwili katika kituo cha Songas (UGT1 na UGT5) ambacho kwa kawaida huzalisha megawati 53. Mmoja unafanyiwa ukarabati wa kawaida na mwingine umeharibika. Ilisema usambazaji umeme kwa Dar es Salaam na Zanzibar unategemea nishati hiyo kutoka mitambo ya nguvu za maji na mtambo wa gesi wa Ubungo kupitia transfoma namba T6 na T7. Ziada ya hapo, wazalishaji umeme binafsi ikiwa ni pamoja na Songas wanaongeza nishati hiyo kwa Dar es Salaam sambamba na transfoma hizo.
Hali hiyo, taarifa ilisema imechangiwa na kusimama kwa mitambo miwili katika kituo cha Songas (UGT1 na UGT5) ambacho kwa kawaida huzalisha megawati 53. Mmoja unafanyiwa ukarabati wa kawaida na mwingine umeharibika. Ilisema usambazaji umeme kwa Dar es Salaam na Zanzibar unategemea nishati hiyo kutoka mitambo ya nguvu za maji na mtambo wa gesi wa Ubungo kupitia transfoma namba T6 na T7. Ziada ya hapo, wazalishaji umeme binafsi ikiwa ni pamoja na Songas wanaongeza nishati hiyo kwa Dar es Salaam sambamba na transfoma hizo.
MALECELA ALONGA
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Sea View, Malecela alisema si vyema wala busara kuendesha malumbano kupitia vyombo vya habari ilhali kuna mamlaka zinazohusika. “Kama mwanasiasa wa kawaida na Mtanzania, ningependa kusema kuwa malumbano haya katika vyombo vya habari, ningeomba yakome, maana hayawasaidii Watanzania,” alisema Malecela.
Aliwataka wahusika katika malumbano hayo ambayo hata hivyo hakuwataja kwa majina, watumie vyombo husika kuwasilisha hoja zao. Alisema ni vyema kila jambo likapelekwa katika chombo husika, ambavyo ni vyama, Bunge na serikali ambako yatashughulikiwa ipasavyo na si kuwachanganya wananchi. Malecela alisema malumbano haya huchangiwa na vyeo, fedha na mambo mbalimbali waliyonayo wanaolumbana.
Subscribe to:
Posts (Atom)