.
.
Friday, July 31, 2009
MAJAMBAZI YAPORA MILLIONI 150,YAUA 1 NA KUJERUHI 13
BEER SUMMIT
SITTA AOMBA ULINZI SERIKALINI
.jpg)
SPIKA wa Bunge Samuel Sitta ameiomba Serikali kumwongezea ulinzi kwa kuwa mafisadi wameongeza nguvu ya vita dhidi yake.
Spika Sitta alisema hayo alipokuwa akizungumzia tuhuma dhidi yake, zilizoripotiwa jana na baadhi ya vyombo vya habari kuwa anafanya njama kuchoma nyaraka za Bunge.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, Spika anadaiwa kula njama ili kuchoma ofisi ya mhasibu wa Bunge ili kuharibu nyaraka muhimu zinazomhusisha na ubadhirifu wa fedha za Bunge.
Lakini Spika Sitta alijibu tuhuma hizo bungeni akisema taarifa hizo zina mkono wa wabaya wake, wenye lengo la kumchafua katika utendaji wake.
“Hivi kama kweli nataka kuficha faili la Bunge nani anaweza kunizuia humu ndani?” alihoji Spika Sitta na kuongeza:
“Hizi ni taarifa za wabaya wangu, wanachofanya ni kuziweka kwenye internet kwanza halafu wanazisambaza kwenye vyombo vyao maalum, magazeti manne; gazeti la Tazama, Tanzania Daima na mengine mnayoyaona," alisema Spika na kuongeza:
“Mheshimiwa Waziri Mkuu naomba mnipe ulinzi zaidi, hii vita ni ngumu na kubwa sasa. Ulinzi mnaonipa naona hautoshi,” alilalamika Spika Sitta na kuwaponda wanaomwandama kuwa hata iweje, ataendelea kushinda ubunge jimboni kwake na kuwa Spika kama bado atakuwa hai mwakani.
Alifafanua kuwa fedha wanazopeleka maadui zake jimboni kwake Urambo zinasaidia kuimarisha maendeleo, lakini hazitomng’oa madarakani.
"Wananchi wangu wanajua ninachokifanya jimboni kwangu, hata wakipeleka pikipiki bado nitashinda," alisema Sitta.
Mara kwa mara Spika Sitta amekuwa akidai kwamba anaandamwa na mafisadi ambao wanataka aache kufichua maovu yao.
Spika Sitta alisema hayo alipokuwa akizungumzia tuhuma dhidi yake, zilizoripotiwa jana na baadhi ya vyombo vya habari kuwa anafanya njama kuchoma nyaraka za Bunge.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, Spika anadaiwa kula njama ili kuchoma ofisi ya mhasibu wa Bunge ili kuharibu nyaraka muhimu zinazomhusisha na ubadhirifu wa fedha za Bunge.
Lakini Spika Sitta alijibu tuhuma hizo bungeni akisema taarifa hizo zina mkono wa wabaya wake, wenye lengo la kumchafua katika utendaji wake.
“Hivi kama kweli nataka kuficha faili la Bunge nani anaweza kunizuia humu ndani?” alihoji Spika Sitta na kuongeza:
“Hizi ni taarifa za wabaya wangu, wanachofanya ni kuziweka kwenye internet kwanza halafu wanazisambaza kwenye vyombo vyao maalum, magazeti manne; gazeti la Tazama, Tanzania Daima na mengine mnayoyaona," alisema Spika na kuongeza:
“Mheshimiwa Waziri Mkuu naomba mnipe ulinzi zaidi, hii vita ni ngumu na kubwa sasa. Ulinzi mnaonipa naona hautoshi,” alilalamika Spika Sitta na kuwaponda wanaomwandama kuwa hata iweje, ataendelea kushinda ubunge jimboni kwake na kuwa Spika kama bado atakuwa hai mwakani.
Alifafanua kuwa fedha wanazopeleka maadui zake jimboni kwake Urambo zinasaidia kuimarisha maendeleo, lakini hazitomng’oa madarakani.
"Wananchi wangu wanajua ninachokifanya jimboni kwangu, hata wakipeleka pikipiki bado nitashinda," alisema Sitta.
Mara kwa mara Spika Sitta amekuwa akidai kwamba anaandamwa na mafisadi ambao wanataka aache kufichua maovu yao.
Wednesday, July 29, 2009
DIDA ATOBOA YA MAIMARTHA WA JESSE

Tukio hilo lilitokea usiku wa Julai 24, mwaka huu, katika Ukumbi wa New Msasani Club jijini Dar es Salaam, ambapo siku hiyo kulikuwa na uzinduzi wa kundi jipya la muziki wa mwambao la 5 Stars Modern Taarab, Dida akiwa ndiyo Msema Chochote (MC).Katika hali ya kushangaza, Dida aliparamia jukwaa na Kusema maimartha na mpenzi wake P-Diddy wataoana karibuni baada ya P-Diddy kukamilisha kumtolea mahari yote Mai. “Ninatambua uwepo wa mtangazaji wa kituo cha Runinga cha Channel 5, Maimartha wa Jesse, Bi. harusi mtarajiwa. P-Diddy amekwisha kumtolea kila kitu yaani mahari yote… nakukaribisha mno, Bi. harusi wetu mtarajiwa,”alieleza Dida.Wakati Dida akitoa kauli hiyo, Maimartha ambaye alikuwa ameketi mbele kabisa ya jukwaa ‘front page’ sambamba na swahiba wake, Sauda Mwilima , mtangazaji wa Star TV, aliinama chini huku akitikisa kichwa kwa masikitiko ya kukanusha kauli hiyo ya Dida.Tukio hilo lilitokea usiku wa Julai 24, mwaka huu, katika Ukumbi wa New Msasani Club jijini Dar es Salaam, ambapo siku hiyo kulikuwa na uzinduzi wa kundi jipya la muziki wa mwambao la 5 Stars Modern Taarab, Dida akiwa ndiyo Msema Chochote (MC).Katika hali ya kushangaza, Dida aliparamia jukwaa na kuanza kusasambusa siri za penzi la wawili hao kuwa muda wowote wataoana baada ya P-Diddy kukamilisha kumtolea mahari yote Mai. “Ninatambua uwepo wa mtangazaji wa kituo cha Runinga cha Channel 5, Maimartha wa Jesse, Bi. harusi mtarajiwa. P-Diddy amekwisha kumtolea kila kitu yaani mahari yote… nakukaribisha mno, Bi. harusi wetu mtarajiwa,”alieleza Dida.Wakati Dida akitoa kauli hiyo, Maimartha ambaye alikuwa ameketi mbele kabisa ya jukwaa ‘front page’ sambamba na swahiba wake, Sauda Mwilima , mtangazaji wa Star TV, aliinama chini huku akitikisa kichwa kwa masikitiko ya kukanusha kauli hiyo ya Dida.

Kwa Hisani ya GPL
PASCHAL MAYALLA BUNGENI DODOMA
AMBER & KANYE
THAT IS WHY EVERYONE WANTS TO LIVE IN UK

Laura Ripley receives £600 a month in benefits, weighs 22 stone after a gastric sleeve operation, and is deemed fit to work but has no plans to find a job
A 25-year-old unemployed woman who was given an £8,000 operation to help her lose 16 stone is complaining because, as well as her weight loss, her benefits have been reduced.
Laura Ripley, who has never worked, was given the operation on the NHS to help her slim down from 38 to 22 stone.
But the 25-year-old, who receives £600 a month in benefits, is unhappy because as a result of losing weight she can no longer claim disability allowance amounting to an extra £340 a month.
This, she says, means she cannot afford to eat healthily - causing her to pile the weight back on.
'I can't afford to buy WeightWatchers crisps and cereal bars any more so I eat Tesco's chocolate bars and packets of Space Invaders crisps, sometimes four of each a day', says Laura, who spends seven hours a day watching TV.
'People ask why I don't snack on an apple - they're cheap, but emotionally I don't always feel like an apple.'
The disability allowance money she used to receive was spent on gym workouts, healthy food and having her hair highlighted.
She adds: 'Without my disability allowance I'm left with just £210 incapacity benefit which I get because of my depression, and £100 income support I receive every two weeks and out of that I have to give them back £70 towards the cost of the £500-a-month flat I'm living in.'
Since the extra allowance stopped Laura has put on a stone in just three weeks and claims she is being treated unfairly.
RISING ICONS PREMIER
Tuesday, July 28, 2009
SUMMER COCKTAIL JUMAMOSI HII
SUMMER COCKTAIL PARTY KUFANYIKA WEEK END HII 01/08/09 JUMAMOSI, KUANZIA SAA 1:00 JIONI MPAKA SAA 3:00 USIKU KUTAKUWA NA SELF-SERVICE DRINK KWA WALE WATAKAO WAHI KUFIKA, NA BAADA YA HAPO KUTAKUWA NA DANCE MPAKA SAA 9 USIKU. NYOTE MWAKARIBISHWA.UKUMBI NI SEEBO'S REST & BAR, 761-763 HIGH RD, LEYTONSTONE, E11 4QS.
UKUMBI HUU UKO OPPOSITE NA LINCONS PUB & ZULLU BAR, NA PIA NI KARIBU NA LLYODS BANK & ICELAND. KARIBUNI TUFURAHI KWA PAMOJA.
WACHANJAJI WA MKWANJA ATM ZA BONGO
UFISADI TANESCO
Nyumba 17 zakarabatiwa kwa gharama zinazotosha kujenga 20 zenye hadhi sawa !!
Nipashe Na Sharon Sauwa
Ufisadi mpya na wa kutisha ndani ya Shirika la Umeme nchini TANESCO umebainika leo baada ya Mbunge mmoja kuuanika bungeni leo asubuhi. Aliyeanika ufisadi huo mpya ni Mbunge wa Sumve (CCM), Mheshimiwa Richard Ndasa, ambaye alidai kuna ubadhirifu wa zaidi ya shilingi Bilioni 1.4 ndani ya shirika hilo la umma. Mheshimiwa Ndasa amesema shirika hilo limetumia kiasi hicho kikubwa cha pesa (Sh. Bilioni 1.4) kwa ajili ya kukarabati nyumba 17 zilizopo Oysterbay Jijini Dar es Salaam, fedha ambazo kimahesabu, zinatosha kujenga nyumba kama hizo zaidi ya 20. Akazitaja nyumba hizo zenye harufu kali ya ufisadi kuwa ni ni pamoja na ile iliyopo katika kiwanja namba 13 , Mtaa wa Pore, ambayo ilikarabatiwa kwa shilingi Milioni 600 na nyumba namba 89 iliyopo katika barabara ya Guinea, ambayo imekarabatiwa kwa shilingi milioni 250. Nyumba nyingine ni yenye namba 65 palepale Oysterbay iliyokarabatiwa kwa zaidi ya shilingi milioni 195.Nyingine ni nyumba namba 459 iliyopo katika Mtaa wa Mawenzi ambayo imekarabatiwa kwa zaidi ya shilingi milioni 130. Akasema Mheshimiwa Ndassa kuwa matumizi hayo ni mabaya na yanalitia doa zito shirika hilo. Aidha, akasema mbaya zaidi nyumba moja iliyokarabatiwa kwa zaidi ya shilingi milioni 600, hivi sasa iko mbioni kuuzwa kwa bei poa ya shilingi milioni 60 kwa kigogo mmoja. Mhe. Ndasa akasema cha kushangaza ni kwamba wakurugenzi wa shirika hilo, hadi sasa hawaujui ufisadi huo.
JK MJINI KAMPALA
Monday, July 27, 2009
LUCIOUS BANDA AT CLUBAFRIQUE LAST NITE
MAKAMU WA RAIS AOZA BINTIYE
AJALI MBAYA SANA YAUA 30 MKOANI TANGA
ZAIDI ya watu 30 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria la Mohammed Trans, kutoka Mwanza kwenda Dar es Salaam kupitia Nairobi nchini Kenya, kupata ajali wilayani Korogwe mkoani Tanga.
Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia gazeti la Mwananchi kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Erasto Sima, zinasema chanzo cha ajali hiyo ni kupasuka kwa gurudumu moja la basi hilo na kugongana uso kwa uso na gari la mizigo aina ya Scania, lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda Arusha.
Mpaka gazeti linakwenda mtamboni ni majeruhi 13, ndio waliokuwa wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya Korogwe, Magunga, mkoani Tanga na katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali hiyo, iliwekwa taa ya kandili kutokana na kukosekana kwa umeme ili shughuli za kuweka miili ya marehemu hao ziendelee .
Habari zaidi zilisema ajali hiyo ilitokea katika eneo la Kwa Kombo wilayani Korogwe, majira ya saa moja jioni jana.
Sima alisema jitihada za kutoa maiti nyingine ambazo zinadaiwa kuwa zimekandamizwa na basi hilo, zilionekana kuwa ngumu kiasi cha kuagiza winchi kutoka mjini Tanga, lisaidie kuliinua basi hilo ili maiti zilizokandamizwa ziweze kupatikana.
Hata hivyo, mkuu huyo wa wilaya alisema hadi muda huo kulikuwa na maiti 27 zilizokwisha patikana, wanaume 21 na wanawake sita.
Wakati huohuo, mtu mmoja amefariki dunia katika ajali iliyotokea maeneo ya Wami mkoani Tanga baada ya gari la Kampuni ya Airbus lililokuwa likisafiri kwenda Dar es Salaam jana kugongana na lori.
CHANZO : MWANANCHI
Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia gazeti la Mwananchi kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Erasto Sima, zinasema chanzo cha ajali hiyo ni kupasuka kwa gurudumu moja la basi hilo na kugongana uso kwa uso na gari la mizigo aina ya Scania, lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda Arusha.
Mpaka gazeti linakwenda mtamboni ni majeruhi 13, ndio waliokuwa wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya Korogwe, Magunga, mkoani Tanga na katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali hiyo, iliwekwa taa ya kandili kutokana na kukosekana kwa umeme ili shughuli za kuweka miili ya marehemu hao ziendelee .
Habari zaidi zilisema ajali hiyo ilitokea katika eneo la Kwa Kombo wilayani Korogwe, majira ya saa moja jioni jana.
Sima alisema jitihada za kutoa maiti nyingine ambazo zinadaiwa kuwa zimekandamizwa na basi hilo, zilionekana kuwa ngumu kiasi cha kuagiza winchi kutoka mjini Tanga, lisaidie kuliinua basi hilo ili maiti zilizokandamizwa ziweze kupatikana.
Hata hivyo, mkuu huyo wa wilaya alisema hadi muda huo kulikuwa na maiti 27 zilizokwisha patikana, wanaume 21 na wanawake sita.
Wakati huohuo, mtu mmoja amefariki dunia katika ajali iliyotokea maeneo ya Wami mkoani Tanga baada ya gari la Kampuni ya Airbus lililokuwa likisafiri kwenda Dar es Salaam jana kugongana na lori.
CHANZO : MWANANCHI
Sunday, July 26, 2009
HAPPY 40th BIRTHDAY J LO
Marc Anthony helped his wife Jennifer Lopez celebrate her 40th birthday by inviting all her friends and family for a little party in the Greenwich Village on friday night. The actress wore a skin tight metallic dress and accessorized with lots and lots of diamonds. After all, aren't they a girl's best friend?The partying didn't start there. Us Weekly is reporting that the cast and crew of 'The Back Up Plan' rolled out a huge birthday cake at midnight (picture here) to start the celebration.
She was all smiles while toasting with champagne and blowing out the candles on the giant chocolate cake, which featured a huge photo of herself.
UTABIRI WA SHEIKH YAHYA HUSSEIN

Sheikh Yahya Hussein ameibuka na utabiri wa mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na ule unaodai kuwa kuna rais wa nchi moja ya mashariki mwa Afrika atatekwa akiwa kwenye ndege au kupinduliwa.
Sheikh Yahya amewaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo, litatokana na hali ya kupatwa kwa jua kulikotokea juzi nchini China na kwingineko barani Asia.
Ameendelea na kutabiri kuwa pia kutatokea matatizo katika mambo ya ulinzi na usalama kwa viongozi wa nchi mbalimbali za mashariki ya Afrika.
Hata hivyo, hakutaja nchi yoyote ambayo itakumbwa na tukio hilo.
"Pia natabiri baadhi ya wabunge kadhaa kufungwa na wengine kufa ghafla," akasema.
Akaongeza kuwa vilevile, baadhi ya maofisa wa ngazi za juu serikalini watafukuzwa kazi wakiwa nje ya nchi zao kwa kashfa mbalimbali.
Ameendelea kueleza kuwa vyama vya siasa vinavyotawala na vile vya upinzani vitakuwa na mabadiliko makubwa.
Aidha, akasema kuwa Muungano wa Tanzania utaendelea kudumu licha ya watu kulalamikia kasoro kadhaa kila kukicha.
Sheikh Yahya amewaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio hilo, litatokana na hali ya kupatwa kwa jua kulikotokea juzi nchini China na kwingineko barani Asia.
Ameendelea na kutabiri kuwa pia kutatokea matatizo katika mambo ya ulinzi na usalama kwa viongozi wa nchi mbalimbali za mashariki ya Afrika.
Hata hivyo, hakutaja nchi yoyote ambayo itakumbwa na tukio hilo.
"Pia natabiri baadhi ya wabunge kadhaa kufungwa na wengine kufa ghafla," akasema.
Akaongeza kuwa vilevile, baadhi ya maofisa wa ngazi za juu serikalini watafukuzwa kazi wakiwa nje ya nchi zao kwa kashfa mbalimbali.
Ameendelea kueleza kuwa vyama vya siasa vinavyotawala na vile vya upinzani vitakuwa na mabadiliko makubwa.
Aidha, akasema kuwa Muungano wa Tanzania utaendelea kudumu licha ya watu kulalamikia kasoro kadhaa kila kukicha.
FIVE STARS MODERN TAARABU
Friday, July 24, 2009
MZEE MORRIS NA NGOMA ZAKE KUMI
Namzungumzia Mzee Morris Nyunyusa. Mkongwe aliyekuwa mahiri katika upigaji wa zaidi ya ngoma kumi japo alikuwa maarufu kwa “ngoma zake kumi.” Namkumbuka sana mzee huyu japo wakati akifanya vitu vyake sikubahatika kumwona. Hata hivyo nilimwona kupitia ngoma zake zilizosikika na zinazoendelea kusikika katika redio Tanzania na sasa TBC taifa.Umahiri wa mzee Morris ulivuma sana miaka hiyo na kufanya apate mialiko mingi ndani na nje ya nchi. Nakumbuka [kwa mujibu wa vyombo vya habari wakati huo] mojawapo ya nchi aliyokwenda mzee Morris ni Japan. Aliyenikumbusha kuhusu mzee Morris ni mgeni mmojawapo katika blogu yangu. Sasa naahidi panapo majaaliwa nitawaletea habari kuhusu maisha ya mzee Morris Nyunyusa muda mfupi ujao, cha msingi tuombe majaaliwa ya mwenyezi mungu. Wageni wangu mtamfahamu mzee yule nje ndani na mazingira ambayo familia yake inaishi hivi sasa. Je, umaarufu wa baba yao unawawezesha kuishi maisha bora au kasahaulika kama walivyosahaulika mashujaa wenzie lukuki?Pamoja na maneno mengi ambayo tunaweza kusema kumuhusu mzee Morris lakini neno moja halitakuwa na hata chembe ya uongo. Neno hilo ni kwamba ngoma za mzee Morris bado zingali hai.Mwisho wa mwanzo…..
MESSAGE FROM JUMA MABAKILA ON AILTV
MARKETING MANAGER AILTV EAST AFRICA REGION
A few days a go some of you guys, read my introduction letter about AILTV (Africans In London TV) I did not want say much about it because I was waiting for some vital information. And this information is about fiber optic connectivity, when I read the news in Michuzi blog, I punched the air. And now let me tell you about AILTV. Technically speaking AILTV is more advanced in many ways:
( 1 )AILTV is a fully blown TV channel, It can be watched on a normal television set using a set top box (STB). You can watch AILTV online in full screen mode and retain high quality images.
(2) As a viewer you can choose to watch whatever you to watch anytime anywhere and in any order provided you have got a faster broad band connection. Here at AILTV we are very excited about the fiber optic connectivity in Tanzania. As a marketing manager AILTV, this communication technology will make things much easier to show case and market Tanzania and East Africa in general. As I said in previous news letter I am here to promote Tanzania as country, Tanzania businesses, its culture and its people. For example AILTV is working in conjunction with Tanzania Trade center here in London to promote Tanzania products and wild life. We have already started with Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA). This Program can be accessed anytime night or day. Another important massage is to the business community in Tanzania and East Africa. AILTV is ready to work with any business big or small, AILTV will create and marked your business according to the budget. Now let the fun begin.
Call me any time Tel: +44 7969137196 or 07861351135 ore-mail me jmabakila@yahoo.co.uk Log on to www.aitv.com OUR PROGRAMS MUSIC, FASHION AND BEAUTY, CURRENT AFFAIRS, EDUCATION ETC.
A few days a go some of you guys, read my introduction letter about AILTV (Africans In London TV) I did not want say much about it because I was waiting for some vital information. And this information is about fiber optic connectivity, when I read the news in Michuzi blog, I punched the air. And now let me tell you about AILTV. Technically speaking AILTV is more advanced in many ways:
( 1 )AILTV is a fully blown TV channel, It can be watched on a normal television set using a set top box (STB). You can watch AILTV online in full screen mode and retain high quality images.
(2) As a viewer you can choose to watch whatever you to watch anytime anywhere and in any order provided you have got a faster broad band connection. Here at AILTV we are very excited about the fiber optic connectivity in Tanzania. As a marketing manager AILTV, this communication technology will make things much easier to show case and market Tanzania and East Africa in general. As I said in previous news letter I am here to promote Tanzania as country, Tanzania businesses, its culture and its people. For example AILTV is working in conjunction with Tanzania Trade center here in London to promote Tanzania products and wild life. We have already started with Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA). This Program can be accessed anytime night or day. Another important massage is to the business community in Tanzania and East Africa. AILTV is ready to work with any business big or small, AILTV will create and marked your business according to the budget. Now let the fun begin.
Call me any time Tel: +44 7969137196 or 07861351135 ore-mail me jmabakila@yahoo.co.uk Log on to www.aitv.com OUR PROGRAMS MUSIC, FASHION AND BEAUTY, CURRENT AFFAIRS, EDUCATION ETC.
Thursday, July 23, 2009
MAISHA PLUS YAPIGA HODI
Shindano la MAISHA PLUS ambalo limekuwa kivutio kikubwa kwa watazamaji wa kituo cha televisheni ya Taifa TBC1 na ambalo limeanza kuteka na kuvuta hisia za mashabiki karibu Tanzania Nzima linatarajia kuanza Tena hivi karibu, akizungumzia Shindano mkurugenzi wa Maisha Masoud kipanya amesema Usaili umenza jana tarehe 22 Julai kwa kugawa fomu maeneo mablimbali kwa kuzingatia mgawanyo wa kikanda,Vilevile Mshindi wa maisha plus wa shindano lililopita Abdull ambaye alitokea Zanzibar alisema shindano la maisha Plus ni zaidi ya Maisha kwani unajifunza vitu vingi ikiwemo mbinu ya kuishi na watu mbalimbali wenye tabia tofauti vilevile unapata maisha halisi ya Kijijini na Uhalisia wake.
Mkurugenzi huyo wa MAISHA PLUS Masoud Kipanya ameongeza na kueleza kwa upana maana ya kipindi hicho kuwa ni kuelezea jamii kwa upana wake uhalisia wa kipindi hicho na uelewa wa kutafakari mambo kwa upana zaidi na kujifunza mambo Mengi zaidi kimaisha hasa maisha ya mtanzania wa kawaida anayeishi kijijini.Zawadi ya Msimu huu ni shilingi Milioni 15 Vigezo vya Msingi vya kuweza Kushiriki ni Umri kati ya miaka ishirini na moja na ishirini na sita Elimu ya Sekondari au iliyo sawa na sekondari au chuo cha ufundi na awe na Uraia wa Tanzania, vijana wote wana ruhusiwa kushiriki waliooa na kuolewa na wasiooa na wasioolewa, ili kujua fomu za kujiunga kwenye usaili zinapatikana wapi angalia tangazo kwenye kituo cha televisheni ya Taifa TBC1.
Mkurugenzi huyo wa MAISHA PLUS Masoud Kipanya ameongeza na kueleza kwa upana maana ya kipindi hicho kuwa ni kuelezea jamii kwa upana wake uhalisia wa kipindi hicho na uelewa wa kutafakari mambo kwa upana zaidi na kujifunza mambo Mengi zaidi kimaisha hasa maisha ya mtanzania wa kawaida anayeishi kijijini.Zawadi ya Msimu huu ni shilingi Milioni 15 Vigezo vya Msingi vya kuweza Kushiriki ni Umri kati ya miaka ishirini na moja na ishirini na sita Elimu ya Sekondari au iliyo sawa na sekondari au chuo cha ufundi na awe na Uraia wa Tanzania, vijana wote wana ruhusiwa kushiriki waliooa na kuolewa na wasiooa na wasioolewa, ili kujua fomu za kujiunga kwenye usaili zinapatikana wapi angalia tangazo kwenye kituo cha televisheni ya Taifa TBC1.
LA MGAMBO "SWAHILI FASHION WEEK 2009"
Designer calling for “SWAHILI FASHION WEEK 2009” Submission Deadline 31 July 2009The annual Swahili Fashion Week 2009 is to be held during the month of November 2009 in Dar es Salaam , Tanzania . With 12 Tanzanian Designers Showcasing last year, including Those from Zanzibar and Mwanza, This year More designers are to be featured from all over Tanzania and neighbouring Swahili speaking countries.
The preparations are underway this year, to create a Three Day of Fashion Galore, Gallantry. Glitz and Glamour of what best East Africa has to offer.The participation is not limited to Fashion designers only, but is open to Accessory, jewellery, handbags and Shoe Designer also.
Swahili Fashion Week is open to all designers. Both emerging and established, from Swahili Speaking countries.
To be invited to Showcase at this Annual Event, the requirements are:
- A brief Updated (as of 30 June 2009) Profile/Biography Minimum three Images of your work which best portray your Creativity.Why you should be invited to showcase at the Swahili Fashion Week 2009?
The Above requirements can be electronically be E-mailed to info@swahilifashionweek.com or can be sent via Swahili Fashion Week, P.O.BOX 10684 Dar Es Salaam, Tanzania, Not later than 31 July 2009.
(Please Strictly Adhere to the Deadline)
MAMBO SI SHWARI MSIMBAZI (SIMBA sc)
HALI imeendelea kuwa tete ndani ya klabu ya Simba baada ya viongozi wake wawili mwenyekiti Hassan Dalali na makamu wake Omary Gumbo kuanza kutupiana vijembe hadharani.
Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali amemtuhumu makamu wake Omary Gumbo kuwa ana chembe chembe za Yanga, huku mchezaji huyo wa zamani wa wekundu hao akijibu mapigo kwa kusema mwenyekiti huyo 'amefilisika kimawazo.'
"Tatizo ana chuki kwa vile amenyang'anywa gari hapati tena fedha, mchuzi umeondoka, wote tutembee kwa miguu, aliyechoka aondoke..."
Aliongeza kuwa Gumbo ana chembe chembe za Uyanga kwani mwaka 1971 akiwa mchezaji Simba alihongwa shilingi 300 ili ajiunge na Yanga, lakini wazee walimzuia 'inawezekana bado ana chembe chembe za Uyanga ndio maana mechi zote za Simba na Yanga huwa haonekani uwanjani ina tia mashaka chembe chembe za Uyanga zinaonekana wazi.'
"Aliyezoea kula nyama ya mtu hawezi kuacha ataendelea kula, tunaelekea kipindi cha uchaguzi, wanachama wawe makini na watu wanaowachagua wasichague wenye chembe chembe za Uyanga kama Gumbo", alisema Dalali.
Dalali aliyasema hayo jana ikiwa ni siku moja tangu Gumbo alipotangaza hatambui tamasha la 'Simba Day' lililopangwa kufanyika siku ya nane nane, na limeandaliwa na watu wachache na kwamba kamati ya utendaji haitambui bonaza hilo.
Lakini Dalali alisema tamasha hilo lipo pale pale na kwamba wanachama na mashabiki wa Simba watavaa nguo nyekundu na litakuwa linafanyika kila mwaka kwa kuwa klabu hiyo imezaliwa upya.
"Mechi za tarehe 8 na 15 zimepangwa na kocha, si kamati ya utendaji, kiongozi anapokataa programu ya mwalimu hatufai,"alisema Dalali
"Kocha amesema, kamati ya utendaji haipangi mechi, jambo la busara angeuliza timu imeendaje Zanzibar?, imepelekwa na nani?, inakula nini?kama kweli anauchungu, lakini si kuhoji fedha zinatumikaje?, watu wamechanga milioni 30 kwa ajili ya kambi mbona haulizi? alihoji na kuongeza "Wenzetu mpaka leo hawajaenda Mwanza wamefulia".
Dalali alisisitiza tamasha la 'Simba day' lipo palepale na kuhoji kuwa wanaopinga mbona hawajaipinga mechi ya Simba na Mtibwa na ile ya African Lyon na kuwataka Wanasimba wasitumiwe na wajitokeze kwa wingi uwanjani kwa kuwa mbali na mechi pia kutakuwa na burudani ya bendi.
Wakati Dalali akisema hayo Makamu Mwenyekiti wake, Gumbo alidai Mwenyekiti ameishiwa kimawazo na hajui kitu chochote alichokuwa anaongelea kwani suala la kupewa fedha na Yanga ni yeye Gumbo aliyemwadithia.
''Huyo Dalali anasema mimi nina chembe chembe za Yanga kwa kuwa niliwahi kupewa fedha na timu hiyo ya Jangwani nikaichezee, yeye mwenyewe alikuwa hakijui kisa hicho, nilimuadithia mwenyewe, wakati huo yeye alikuwa anapiga gitaa katika bendi ya Vijana Jazz,'' alisema Gumbo.
Alidai kuwa ukweli wa stori hiyo anaijua Kitwana Manara na Hassan Manento, na kwamba yeye ni Simba damu na hakuna mtu ambaye hajui hilo na ukimwambia mtu kuwa Gumbo ni Yanga haiwezi kuingia akilini.
Wakati huo huo; mjumbe wa kamati ya usajili ya Simba, Mulamu Ng'hambi amepinga vikali taarifa zilizozagaa kuwa yeye ni katibu wa kuajiriwa Simba, amesema wala hajawai kuomba kazi na hafikirii kuomba ukatibu wa kuajiriwa Simba kwa vile klabu hiyo haina fedha za kumlipa.
Alisema yeye ni mwanachama wa Simba na ni friends of Simba ambao lengo la kundi hilo siku zote ni kusaidia maendeleo ya klabu hiyo.
Mwenyekiti wa Simba, Hassan Dalali amemtuhumu makamu wake Omary Gumbo kuwa ana chembe chembe za Yanga, huku mchezaji huyo wa zamani wa wekundu hao akijibu mapigo kwa kusema mwenyekiti huyo 'amefilisika kimawazo.'
"Tatizo ana chuki kwa vile amenyang'anywa gari hapati tena fedha, mchuzi umeondoka, wote tutembee kwa miguu, aliyechoka aondoke..."
Aliongeza kuwa Gumbo ana chembe chembe za Uyanga kwani mwaka 1971 akiwa mchezaji Simba alihongwa shilingi 300 ili ajiunge na Yanga, lakini wazee walimzuia 'inawezekana bado ana chembe chembe za Uyanga ndio maana mechi zote za Simba na Yanga huwa haonekani uwanjani ina tia mashaka chembe chembe za Uyanga zinaonekana wazi.'
"Aliyezoea kula nyama ya mtu hawezi kuacha ataendelea kula, tunaelekea kipindi cha uchaguzi, wanachama wawe makini na watu wanaowachagua wasichague wenye chembe chembe za Uyanga kama Gumbo", alisema Dalali.
Dalali aliyasema hayo jana ikiwa ni siku moja tangu Gumbo alipotangaza hatambui tamasha la 'Simba Day' lililopangwa kufanyika siku ya nane nane, na limeandaliwa na watu wachache na kwamba kamati ya utendaji haitambui bonaza hilo.
Lakini Dalali alisema tamasha hilo lipo pale pale na kwamba wanachama na mashabiki wa Simba watavaa nguo nyekundu na litakuwa linafanyika kila mwaka kwa kuwa klabu hiyo imezaliwa upya.
"Mechi za tarehe 8 na 15 zimepangwa na kocha, si kamati ya utendaji, kiongozi anapokataa programu ya mwalimu hatufai,"alisema Dalali
"Kocha amesema, kamati ya utendaji haipangi mechi, jambo la busara angeuliza timu imeendaje Zanzibar?, imepelekwa na nani?, inakula nini?kama kweli anauchungu, lakini si kuhoji fedha zinatumikaje?, watu wamechanga milioni 30 kwa ajili ya kambi mbona haulizi? alihoji na kuongeza "Wenzetu mpaka leo hawajaenda Mwanza wamefulia".
Dalali alisisitiza tamasha la 'Simba day' lipo palepale na kuhoji kuwa wanaopinga mbona hawajaipinga mechi ya Simba na Mtibwa na ile ya African Lyon na kuwataka Wanasimba wasitumiwe na wajitokeze kwa wingi uwanjani kwa kuwa mbali na mechi pia kutakuwa na burudani ya bendi.
Wakati Dalali akisema hayo Makamu Mwenyekiti wake, Gumbo alidai Mwenyekiti ameishiwa kimawazo na hajui kitu chochote alichokuwa anaongelea kwani suala la kupewa fedha na Yanga ni yeye Gumbo aliyemwadithia.
''Huyo Dalali anasema mimi nina chembe chembe za Yanga kwa kuwa niliwahi kupewa fedha na timu hiyo ya Jangwani nikaichezee, yeye mwenyewe alikuwa hakijui kisa hicho, nilimuadithia mwenyewe, wakati huo yeye alikuwa anapiga gitaa katika bendi ya Vijana Jazz,'' alisema Gumbo.
Alidai kuwa ukweli wa stori hiyo anaijua Kitwana Manara na Hassan Manento, na kwamba yeye ni Simba damu na hakuna mtu ambaye hajui hilo na ukimwambia mtu kuwa Gumbo ni Yanga haiwezi kuingia akilini.
Wakati huo huo; mjumbe wa kamati ya usajili ya Simba, Mulamu Ng'hambi amepinga vikali taarifa zilizozagaa kuwa yeye ni katibu wa kuajiriwa Simba, amesema wala hajawai kuomba kazi na hafikirii kuomba ukatibu wa kuajiriwa Simba kwa vile klabu hiyo haina fedha za kumlipa.
Alisema yeye ni mwanachama wa Simba na ni friends of Simba ambao lengo la kundi hilo siku zote ni kusaidia maendeleo ya klabu hiyo.
FIBRE OPTIC YAZINDULIWA DSM
ORPHAN PREMIER IN LA
Kim Kardashian hit the red carpet with her new BFF Ciara for the premiere of the new movie “Orphan”. I hear Ciara, (who’s rockin’ a fresh cut) is getting lessons from Kim on how to handle the thirsty paparazzi in LA. Kim tweeted yesterday that one photographer got into an accident while chasing her through Beverly HillsWednesday, July 22, 2009
IS OMER THE ELDEST CHILD OF MICHAEL JACKSON ???
FIRST BLACK MISS ENGLAND

Her ambition is to follow in her uncle's speedy footsteps and win Olympic gold.For Rachel Christie, that dream is still at least three years away. In the meantime, however, the 20- year-old niece of Linford Christie has just won another title – becoming the first ever black Miss England.
The professional track and field athlete swapped her running gear for high heels and a glamorous dress to win the contest on Monday night.
It means 5ft 10in Miss Christie will have to juggle her training schedule again as she prepares to face another hurdle – a bid for the Miss World crown in South Africa later this year.
Tuesday, July 21, 2009
ATM BONGO ZAWINDWA NA MAHARAMIA
Siku moja tu baada ya Jeshi la Polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam kufanikiwa kuwanasa wazungu wawili waliotaka kukomba kiujanja mamilioni ya pesa katika ATM, leo tena kuna mijizi imefumwa ikitaka kukomba tena mapesa.Taarifa ambazo zimezipatikana ni kwamba mijizi hiyo, ilikaribia kukomba pesa katika ATM za mabenki mawili maarufu pale katika maeneo ya Posta Jijini kabla ya jaribio lao hilo kuzimwa tena na Polisi.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, ni kwamba, kwa kutumia janja kama ile ya wazungu wa Bulgaria walionaswa jana, mijamaa hiyo ilikaribia kukomba tena pesa, lakini taarifa zikafika polisi na mara moja, kikosi cha askari shupavu wa jeshi hilo kikatua haraka kwenye eneo husika na kuifanya mijizi itimke kimyakimya.
Hata hivyo, akizungumza leo asubuhi kuhusiana na tukio hilo, Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, amesema ni kweli kulikuwa na taarifa za wizi mwingine katika ATM mbili za eneo la Posta Jijini, maeneo ya jirani na Jengo la Mavuno.
Akasema baada ya polisi kupokea taarifa hizo, polisi wenye silaha waliwahi mara moja katika eneo la tukio.
"Tuko makini. Wakati wote tunapopata taarifa sahihi za tukio huwa tunawahi na ndivyo ilivyokuwa leo asubuhi... vijana waliwahi kwenye ATM hizo, lakini wakakuta kuko shwari," akasema.
"Huenda walijaribu au walikimbia baada ya kutuona tumefika kwa wakati... lakini tunachoshukuru ni kwamba ATM zote za eneo husika zilikuwa salama. Tunaomba wananchi waendelee kutupa ushirikiano na bila shaka tutaendelea kukomesha vitendo vya uhalifu Jijini," akasema Kamanda Kova.
Jana, Polisi Jijini waliwatia mbaroni wazungu wawili, raia wa Bulgaria kwa tuhuma za kufanya uhalifu wa kukomba mapesa kwenye mashine hizo za kutolea fedha (ATM).
Habari hizo za kipolisi zilidai kuwa hadi wakikamatwa, wazungu hao wawili walikuwa tayari wameshajichotea jumla ya shilingi milioni 70 kutoka kwenye akaunti za watu mbalimbali Jijini Dar es Salaam.
JUMA MABAKILA
Juma mabakila, have been appointed as a Marketing Manager of AILTV ,based in LondonJust Log On:
www.ailtv.com for more information
Monday, July 20, 2009
JIBWA LA AJABU BONGO

Jibwa moja linalodaiwa kuwa na matendo ya ajabu kiasi cha baadhi ya watu kuliita mbwa - mtu limezuka ghafla na kuibua hofu ya aina yake kwa wakazi wa maeneo ya Goba Jijini baada ya kutafuna kuku kibao na kujeruhi watu kadhaa, wakiwemo wanne ambao wamefikishwa hosputalini.
Jibwa hilo, ambalo baadhi ya watu wanadai ni jeusi na lenye mimacho mikubwa ya kung'aa, limeshamjeruhi mama mmoja aitwaye Bibi Tina, mtoto aitwaye Hussein, mwanamama Theresa Robert na Mzee Gideon Mkwawi.
Mjumbe mmojawapo wa Serikali ya Mtaa wa Goba, Bw. Laurent Joseph Mtego, amesema hofu imekuwa kubwa kwa wananachi wa eneo lao hasa baada ya watu kujeruhiwa na watatu kuhamishwa toka katika Zahanati ya Goba na kupelekwa katika Hospitali ya Magomeni, Jijini.
"Kwakweli hali imekuwa ya mashaka, hasa nyakati za usiku... ila tumeshaanza mikakati ya kukabiliana na tishio hili, ikiwa ni pamoja na kuwasihi watu wanaong'atwa kuwahi hospitalini," amesema Bw. Mtego.
Aidha, akasema kuwa yeye na viongozi wenzie hawaamini kuwa tukio la jibwa hilo linahusiana na ushirikina.
"Tunahofia kuwa isije ikawa ni kichaa cha mbwa... ndio maana kuna hatua kadhaa ambazo naamini viongozi wa juu wa mtaa wameshaanza kuchukua ili kuwasiliana na wataalam wa manispaa... na hadi sasa, baadhi ya mbwa waliong'atwa na hilo jibwa tumeshawaua kwa marungu kwa kuhofia kuwa isije ikawa wamepata kichaa cha mbwa," akasema Bw. Mtego.
FAMILIA YA MICHUZI YENYE VICHWA VYA KUBLOGU
Toka shoto Baba lao Issa michuzi wa http://www.issamichuzi.blogspot.com/Othman Michuzi wa http://www.othmanmichuzi.blogspot.com/
Na kulia Ahmad michuzi mzee wa jiachie http://www.michuzijr.blogspot.com/
Sunday, July 19, 2009
RUSSIANS SPENDING IN LONDON
There are an estimated 300,000 Russians in the capital. Most are ordinary middle-class professionals, but dominating the group is the tiny subset of oligarchs with their apparently limitless wealth.
On arrival in London, an oligarch's first port of call is an estate agent, where deals are typically cut at high speed.
As one agent recalls: 'A buyer wanted to spend £64million on three properties - two in Central London and one in the country or in Scotland. I asked him for a banker's reference, and he said, "No need, I'll pay cash."'
In 2006, a fifth of all houses in the UK that sold for more than £8million went to Russians. And members of their inner circle are able to indulge in extravagant purchases, too - Stephen Curtis owned a castle in Dorset.
Size is necessary for the essentials of the oligarch lifestyle - an indoor pool, gym, and staff accommodation.
According to estate agents Knight Frank, some clients spent up to £400,000 on advanced electronics alone: 'One had a system that enabled him to see who was knocking on his door in London from anywhere in the world, via a video clip sent to his phone.'
Most oligarchs also acquire their own jet. Roman Abramovich has three, including a Boeing 767 nicknamed the Bandit.
Then there's the yacht. Billionaire property magnate Vladimir Doronin used his luxury Lady In Blue to whisk fiery model Naomi Campbell off on a romantic cruise last year.
In 2003, Abramovich bought Pelorus, the tenth largest private yacht in the world. It has a swimming pool with an artificial current and an owner's cabin with panoramic views.
Valerie Manokhina, a former friend of Abramovich, says Russian men are obsessed with competition.
'It is size that matters,' she explained. 'The ladies go to a restaurant with the latest bag, the boys do it with boats and planes.'
This influx of high-spending Russians has changed the profile of many of London's top retailers. Most luxury department stores and boutiques now hire Russian-speaking staff to help the wives and girlfriends of oligarchs shop.
The obsession with spending stems from a fatalistic approach to life.
'Russians have no concept of saving, just as they have no concept of tomorrow,' says Marina Starkova, a director of Red Square PR company.
Such fatalism may explain Russia's age-old reputation as a nation of enthusiastic vodka drinkers. But those who move to London quickly acquire a taste for fine wine.
One dealer admitted that some of his clients were spending enough to support a small wine merchant singlehandedly, though money can't buy sophistication.
Wine writer Tim Atkin remembers watching four cigar-smoking men at the Michelin-starred Hakkasan restaurant ordering a £1,560 bottle of 1996 Chateau Petrus - which they then diluted with Diet Coke.
Abramovich is teetotal, although he's developed an expensive taste for sushi. Late one afternoon he was in Baku, Azerbaijan, and remarked that he fancied sushi for dinner.
Baku isn't known for its Japanese cuisine, so the aide ordered £1,200 of sushi from Ubon in Canary Wharf. It was collected by limousine and then flown 3,000 miles by private jet to Azerbaijan.
At an estimated total cost of £40,000, it must surely rank among the most expensive takeaways in history.
On arrival in London, an oligarch's first port of call is an estate agent, where deals are typically cut at high speed.
As one agent recalls: 'A buyer wanted to spend £64million on three properties - two in Central London and one in the country or in Scotland. I asked him for a banker's reference, and he said, "No need, I'll pay cash."'
In 2006, a fifth of all houses in the UK that sold for more than £8million went to Russians. And members of their inner circle are able to indulge in extravagant purchases, too - Stephen Curtis owned a castle in Dorset.
Size is necessary for the essentials of the oligarch lifestyle - an indoor pool, gym, and staff accommodation.
According to estate agents Knight Frank, some clients spent up to £400,000 on advanced electronics alone: 'One had a system that enabled him to see who was knocking on his door in London from anywhere in the world, via a video clip sent to his phone.'
Most oligarchs also acquire their own jet. Roman Abramovich has three, including a Boeing 767 nicknamed the Bandit.
Then there's the yacht. Billionaire property magnate Vladimir Doronin used his luxury Lady In Blue to whisk fiery model Naomi Campbell off on a romantic cruise last year.
In 2003, Abramovich bought Pelorus, the tenth largest private yacht in the world. It has a swimming pool with an artificial current and an owner's cabin with panoramic views.
Valerie Manokhina, a former friend of Abramovich, says Russian men are obsessed with competition.
'It is size that matters,' she explained. 'The ladies go to a restaurant with the latest bag, the boys do it with boats and planes.'
This influx of high-spending Russians has changed the profile of many of London's top retailers. Most luxury department stores and boutiques now hire Russian-speaking staff to help the wives and girlfriends of oligarchs shop.
The obsession with spending stems from a fatalistic approach to life.
'Russians have no concept of saving, just as they have no concept of tomorrow,' says Marina Starkova, a director of Red Square PR company.
Such fatalism may explain Russia's age-old reputation as a nation of enthusiastic vodka drinkers. But those who move to London quickly acquire a taste for fine wine.
One dealer admitted that some of his clients were spending enough to support a small wine merchant singlehandedly, though money can't buy sophistication.
Wine writer Tim Atkin remembers watching four cigar-smoking men at the Michelin-starred Hakkasan restaurant ordering a £1,560 bottle of 1996 Chateau Petrus - which they then diluted with Diet Coke.
Abramovich is teetotal, although he's developed an expensive taste for sushi. Late one afternoon he was in Baku, Azerbaijan, and remarked that he fancied sushi for dinner.
Baku isn't known for its Japanese cuisine, so the aide ordered £1,200 of sushi from Ubon in Canary Wharf. It was collected by limousine and then flown 3,000 miles by private jet to Azerbaijan.
At an estimated total cost of £40,000, it must surely rank among the most expensive takeaways in history.
Saturday, July 18, 2009
MAGESE NA KAREEM WAWAFUNDA WASHIRIKI MISS TEMEKE 2009
Subscribe to:
Comments (Atom)
















.jpg)







